Psalms 135:15-18


15 aSanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,
zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16 bZina vinywa, lakini haziwezi kusema,
zina macho, lakini haziwezi kuona;
17 czina masikio, lakini haziwezi kusikia,
wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,
vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
Copyright information for SwhNEN